P.O.BOX 65474; DAR ES SALAAM, TANZANIA, MUHIMBILI COMPLEX
EXECUTIVE DIRECTOR: +255-022-2153359
GENERAL LISES: +255-022-2151298/2152937/2152935
FAX: +255-022-2151744
E-MAIL: [email protected]
website: www.moi.ac.tz
OFFERING SERVICES IN ORTHOPAEDICS, SEUROSURGERY AND TRAUMATOLOGY
TANGAZO LA MNADA WAHADHARA MOI
Wananchi wote mnatangaziwa kwamba Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) itauza kwa nja ya mnada wa hachara vifaa chakavu vikiwemo vifaa tiba, vifaa vya ofisi pamoja na samani za olfisi. Mnaca vtafanyika tarehe 29/0S/2022 kuanzia saa ene (4:00) Asubuhi katika eneo la Taasisi (‘Emergence’ sehemu ya maegesho ya magari’) jijini Dar es Salaam.
MASHARTI YA MNADA
1, Kifaa kitarunuliwa kama kilvyo na mahal: kilipo.
2. Mrunuzi atalaz’mika kulipa asilimia mia moja (100%) ya thamani yote na kuondoa kifaa / vifaa atakavyonunua siku ya mnada
3 Mrnunuzi atakayetamka be: ya juu na kushindwa kulipia, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ruhusa ya kuangalia vifaa hivyo vinavyotarajwa kuuzwa itatolewa siku hiyo biyo ya mnada
5. Baada ya kukamilisha malipo vifga vitaondolewa si<u hiyo ya mnada
6. Namba ya mawasiliano 0736 960 144 / 0652 960 144
MKURUGENZ) MTENDAJI
TAASIS YA MIFUPA MUHIMBILI (MOl) 29th Aprili, 2022
All correspondences to he addressed te the Executive Director