TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

 

Kumb Na. JA.9/259/01/A/169 11 Oktoba, 2022

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo
Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Ofisi ya Taifa ya Muendesha Mashtaka (NPS)Wizara, Idara zinazo jitegemea na Wakala wa Serikali (MDAs) ,Mamlaka ya Serikali za Mitaa (LGAs), Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) na Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 18 Oktoba, 2022 hadi 08 Novemba, 2022 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:

DOWNLOAD PDF HERE

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related